WIVU WA ASILI.

Wote Tunafahamu Kwamba Binadamu Ni Viumbe wa Hisia. Lakini Katika Moja Ya Hisia Zenye Nguvu Sana Ndani Ya Binadamu Ni Pamoja na Hisia Za Wivu. Hisia za Wivu Ni Zile Hisia Ambazo Huamka Ndani Ya Mtu Pale Anapogundua Kwamba Mtu Mwingine Amemzidi Katika Eneo Fulani. Hizi Ni Hisia Ambazo Binadamu Wote Huwa Tunazo Ndani Yetu.Lakini …

KURUDISHA NA KUDUMISHA UKUU NA UIMARA WA WACHAGGA KUPITIA KOO.

Tunapozungumzia Uimara wa Wachagga Watu Wengi Wana Mtazamo wa Uimara wa Kiuchumi Zaidi au Vitu Vinavyoonekana na Kushikika. Lakini Katika Uhalisia Uimara Wetu Sio Maendeleo Ya Kiuchumi Moja Kwa Moja, Maendeleo Ya Kiuchumi ni Matokeo Ya Uimara Katika Maeneo Mengine Ambayo Hayaonekani Kwa Macho Wala Kushikika. Kitu Kikubwa Sana Katika Kujenga Uimara Utakaoleta Ufahari Kama …

ARI YA WACHAGGA “CHAGGA SPIRIT”

Kuna Ambao Walihitaji Ufafanuzi Juu Ya Post Hii Kabla Ya Makala za Historia, Nimeirudisha Tena Baada Ya Makala Za Historia Ili Waliofuatilia Historia Vizuri Waweze Kuirudia Kulinganisha Sasa Kile Walichojifunza na Mtazamo wa Mwandishi Huyu wa Africa’s Dome of Mystery, Eva Stuart Watt wa Miaka Ya 1920’s/1930’s. CHAGGA SPIRITNyakati Zimekuwa Zikibadilika Uchaggani Tangu Karne Nyingi …

Ahsanteni Urithi Wetu Wachagga

Habari Wafuasi wa Urithi Wetu Wachagga. Nachukua Fursa Hii Kuwashukuru Wote Ambao Tumekuwa Pamoja Hapa Kwa Kipindi cha Miezi Miwili Mkifuatana na Sisi Katika Mfululizo wa Makala za Historia Ya Wachagga kwa Kipindi cha Miaka 700 Kadiri Tulivyojaliwa Kukusanya Taarifa. Napenda Niwashukuru Wote Waliofuatilia Mwanzo Mpaka Mwisho Kwani Nyinyi Ndio Sababu Tumeweza Kuweka Mfululizo Huu …

MIAKA 700 YA WACHAGGA.

Miaka 700 Ya Wachagga Ni Mfululizo wa Baadhi Ya Makala Za Historia Ya Wachagga Kwa Wastani wa Kipindi Cha Miaka 700 Kwa Kadiri Tulivyojaliwa Kukusanya Taarifa Kutoka Kwenye Vyanzo Mbalimbali. Ni Kazi Iliyochukua Muda Mrefu na Kuhusisha Kusoma Vitabu Vingi, Kudadisi, Kutafiti, Kutafakari na Kujadili Matukio Mbalimbali Ya Kihistoria Kuhusu Kilimanjaro na Wachagga. Watu Mbalimbali …

TUNAHITAJI KUWA “SERIOUS” ZAIDI KATIKA HILI AU KUNA SHERIA ZINAZOTUBANA?

– Wakati Mwingine Kutojua Historia na Kutojihangaisha Kufuatilia Mambo Yanayowahusu Huwa Ni Chanzo cha Jamii Kujisahau Sana. Hivi Tunajua Kwamba Ni Njia Ya Marangu Pekee Katika Kupanda Mlima Kilimanjaro Ambayo Ina Hotels(Huts) za Kufikia? Njia Nyingine Kupanda Mlima Kilimanjaro Unapaswa Kupanda na Mahema Ya Kubeba. Lakini Ajabu Zaidi Ni Kwamba Hizo Huts Zenyewe Zilizopo Njia …

UMUHIMU WA KUFAHAMU HISTORIA.

B. H. Liddell Hart, Aliyekuwa Mwanajeshi Katika Jeshi La Uingereza Aliyeshiriki Katika Vita Ya Kwanza Ya Dunia 1914 – 1918 na Vita Ya Pili Ya Dunia 1939 – 1945 Ameandika Kitabu Kilichopata Umaarufu Kama (Why Don’t We Learn From History?), Akimaanisha, (Kwa Nini Hatujifunzi Kutoka Kwenye Historia?) Liddell Hart Anasema Tofauti na Wengi Wanavyochukulia Kufahamu …