UKOO WA NYELLA.

– Nyella ni ukoo wa wachagga wanaopatikana zaidi katika eneo la katika la ukanda wa mashariki ya kati ya Uchagga, Kilimanjaro na kiasi katika eneo la mwanzoni la ukanda wa mashariki ya mbali ya Uchagga, Kilimanjaro. Huu ni ukoo wenye watu wengi wasomi na wanaofanya vizuri sana kwenye taasisi mbalimbali za ndani na za kimataifa …

UKOO WA MAMKWE.

– Mamkwe ni ukoo wa wachagga wanaopatikana katika eneo la ukanda wa mashariki ya kati ya Uchagga, Kilimanjaro. Huu ni ukoo usio na idadi kubwa ya watu lakini ukiwa pia umetoa watu wengi makini na wasomi katika nyanja mbalimbali. – Kutoka kwenye historia ukoo wa Mamkwe haujazungumzia sana na pia haujatajwa katika kitabu cha “Miaka …

UKOO WA KYARA/MAKYARA.

– Kyara/Makyara ni ukoo maarufu wa wachagga unaopatikana kuanzia ukanda wa maeneo ya katikati kuelekea ukanda wa mashariki ya kati ya Uchagga, Kilimanjaro. Huu ni ukoo wenye watu wengi wasomi wanaofanya vizuri sana katika fani mbalimbali kuanzia taaluma, biashara na ujasiriamali na katika taasisi mbalimbali za umma, taasisi binafsi na hata katika mashirika ya kimataifa. …

UKOO WA MAKYAO.

– Makyao ni ukoo wa wachagga wanaopatikana zaidi katika maeneo ya vijiji vya mashariki ya kati na kwa kiasi mashariki ya mbali ya Uchagga, Kilimanjaro. Ukoo wa Makyao ni ukoo uliopiga hatua kubwa kwa kuzalisha watu wengi wa vipaji mbalimbali na wasomi wa katika nyanja mbalimbali. Huu ni ukoo wenye watu wengi wanaofanya vizuri katika …

UKOO WA MASSAO.

– Massao ni ukoo maarufu wa wachagga unaopatikana zaidi maeneo ya ukanda wa magharibi ya karibu na katikati ya Uchagga, Kilimanjaro. Kutoka kwenye simulizi za watu wanaufananisha ukoo huu kama ukoo uliotokana na ukoo wa Massawe kwa kiasi ambacho umekaribia kufanana majina yake japo wenye unapatikana maeneo machache sana ukilinganisha na ukoo wa Massawe. – …

UKOO WA FOYA.

– Foya ni ukoo wa wachagga wanaopatikana zaidi katika eneo la katikati au magharibi ya kati ya nchi ya Uchagga, Kilimanjaro. Huu ni ukoo wenye watu makini sana ambapo katika miaka ya zamani sana ulikuwa ni moja kati ya koo mashuhuri zilizotoa mainjinia wataalamu wa miundombinu za umwagiliaji na mifereji ya maji kwa ujumla. Hata …

UKOO WA KINABO.

– Kinabo ni ukoo mashuhuri wa wachagga unaotokana na watawala waliowahi kupita zamani na kupata umaarufu au umashuhuri katika himaya husika. Ukoo huu unapatikana kwa kiasi maeneo ya Lyamrakana, Marangu na kwa wingi kiasi maeneo ya Mkuu, Rombo. Huu kwa sehemu kubwa ni ukoo wa watu makini na wasomi zaidi ambao wanafahamiana kwa karibu na …

UKOO WA SOKA/KISOKA/MSOKA.

– Msoka/Soka/Kisoka ni ukoo maarufu wa wachagga unaopatikana katika maeneo ya ukanda wa magharibi ya kati, magharibi ya karibu na mashariki ya karibu ya Uchagga, Kilimanjaro. Wachagga wa ukoo wa Msoka na wengine Soka na Kisoka ni watu wanaofanya vizuri zaidi katika maeneo mbalimbali kwa mfano kitaaluma ukoo wa Msoka wanaonekana kufanya vizuri zaidi na …

UKOO WA KWAYU.

– Kwayu ni ukoo wa kichagga unaopatikana kwa wingi katika ukanda wa maeneo ya magharibi ya kati ya Uchagga, Kilimanjaro. Ukoo huu ni mkubwa kiasi na mkongwe pia wenye watu wengi makini ambapo baadhi wanafanya vizuri sana katika nyanja mbalimbali za kimaisha kuanzia taaluma, biashara na ujasiriamali katika taasisi mbalimbali binafsi na za umma. – …

UKOO WA TENGA/MTENGA.

– Tenga na Mtenga ni ukoo wa mkongwe na wenye umashuhuri sana kwa baadhi ya maeneo ya Uchagga, Kilimanjaro ambao umeoyesha umahiri mkubwa katika nyanja mbalimbali katika nyakati tofauti tofauti za kihistoria. Hata hivyo japo hakuna taarifa za kutosha zinazoweza kuunganisha matawi ya ukoo huu kwa usahihi kwa maeneo yote zinakopatikana katika ardhi ya Uchagga, …