UKOO WA LASWAI.

– Laswai ni ukoo wa wachagga unaopatikana kwa wingi kiasi katika ukanda wa mashariki ya mbali ya Uchagga, Kilimanjaro hususan maeneo ya katikati ya ukanda huu wa mashariki ya mbali ya Uchagga. Wachagga wa ukoo wa Laswai ni watu wachangamfu, wajasiriamali wazuri na baadhi wamefanikisha mambo makubwa sana kwenye maisha. – Kutoka kwenye historia ukoo …

UKOO WA MROSSO.

– Mrosso ni ukoo mkubwa, mashuhuri na maarufu sana wa wachagga unaopatikana kwa zaidi upande wa mashariki ya mbali ya Uchagga, Kilimanjaro. Huu ni ukoo uliosambaa katika maeneo ya vijiji vingi sana vya mashariki ya Uchagga kwa wingi kwenye baadhi ya vijiji na kwa uchache kwenye vijiji vingine. – Wachagga wa ukoo wa Mrosso wengi …

UCHUMBA MPAKA NDOA KWA WACHAGGA.

2. NDOA. SEHEMU YA 1. – Baada ya taratibu zote za mambo ya uchumba na ndugu wote wa bibi harusi wanaopaswa kupewa kile wanachostahili kumalizika sasa umefika wakati wa bwana harusi wa kichagga kumdai ili kukabidhiwa bibi harusi wake. Tangazo la ndoa hupelekwa kwa wazazi wa bibi harusi kupitia Mkara(mdhamini) kwenda kwa baba wa binti …

UKOO WA MWANGA.

– Mwanga ni ukoo wa wachagga wanaopatikana kwa wingi zaidi katika ukanda wa magharibi ya kati kuelekea magharibi ya mbali ya Uchagga, Kilimanjaro kwa wingi katika baadhi ya vijiji na kwa uchache katika vijiji vingine. Baadhi ya wachagga wa ukoo wa Mwanga ni watu wenye uwezo mkubwa sana kiakili na waliojaliwa vipaji vikubwa katika taaluma …

NGUVU YA MAANDISHI NA SALAMU ZA MEI MOSI.

– Siku moja ilikuwa ni mida ya jioni tulikuwa tunafanya maongezi ya kubadilishana mawazo na rafiki yangu mmoja kuhusu mambo mbalimbali katika maisha. Tuliongea mambo mengi sana kwa kirefu lakini ghafla uelekeo wa mazungumzo ukabadilika tukaanza kujadili kuhusu jamii ya wachagga na mambo yao pamoja na mwenendo wa kule wanakoelekea kwa sasa. – Rafiki yangu …