UKOO WA KISAKA.

– Kisaka ni ukoo wa wachagga wanaopatikana katika baadhi ya vijiji vya maeneo ya katikati ya Uchaggani, Kilimanjaro. Huu ni ukoo uliosambaa katika vijiji vingi kidogo vya Uchagga unaopatikana katika himaya kadhaa za katikati kuelekea mashariki ya Kilimanjaro. – Ukoo wa Kisaka ni ukoo wenye watu waliosambaa ndani na nje ya Tanzania wakiwa wanafanya vizuri …

UKOO WA KANZA.

– Kanza ni ukoo usio maarufu sana unaopatikana kwa wingi katika vijiji vya maeneo ya katikati ya Kilimanjaro. Huu ni ukoo wa watu wenye umakini mkubwa na wengi wanafanya vizuri sana katika taaluma maeneo mbalimbali na diplomasia na hata katika biashara. – Kutoka kwenye historia Kanza ni ukoo uliokuwa mashuhuri na uliokuwa unatawala katika kijiji …

UKOO WA URASSA.

– Urassa ni ukoo mkubwa wa kichagga na mashuhuri unaopatikana upande wa magharibi sana na mashariki sana ya Uchagga, Kilimanjaro. Hata hivyo ukoo wa Urassa pia unapatikana kwa kiasi maeneo ya katikati ya Uchagga, Kilimanjaro. Huu ni ukoo uliotoa watu mbalimbali mashuhuri wanaofanya vizuri katika nyanja mbalimbali za maisha katika siasa, biashara na hata kitaaluma. …

UKOO WA MBOYA.

– Mboya ni ukoo mkubwa na maarufu wa kichagga uliosambaa katika vijiji mbalimbali vya Uchagga, Kilimanjaro na katika maeneo mengi mbalimbali pia. Kiuhalisia ukoo wa Mboya ni tawi la ukoo wa Mboro. Ukoo wa Mboro ambao ulikuwa ni ukoo mkubwa sana na mashuhuri sana uliosambaa kila mahali Uchaggani, Kilimanjaro na uliokuwa unaheshimika sana zamani ulikuja …

UKOO WA ASSENGA.

– Assenga ni ukoo mkubwa sana wa wachagga unaopatikana kwa wingi kwenye vijiji mbalimbali vya Uchagga Kilimanjaro maeneo ya katikati ya Uchagga na kwa wingi zaidi upande wa mashariki. Wachagga wa ukoo wa Assenga wanafahamika kwa kujiamini na kujituma sana katika nyanja mbalimbali ndani na nje ya nchi. Baadhi ya maeneo ya Rombo ukoo wa …

BONIFACE PAULO MASSAWE.

– Boniface Paulo Massawe ni mchagga kutokea Kibosho ambaye haijulikana exactly anatokea kijiji gani. Lakini Bwana huyu alizaa mtoto na mwanamke mmoja kutokea huko Marangu miaka kama 35 au 36 iliyopita alipokuwa akiishi Moshi mjini. Mtoto huyo ni wa kike na ameshakuwa binti mkubwa ambaye ameolewa na mwanaume wa huko huko Marangu na ana familia …

UKOO WA MARO.

– Maro ni ukoo mkongwe sana wa wachagga uliotoa watu mashuhuri sana katika historia ya wachagga Kilimanjaro. Ukoo wa Maro wa miaka ya zamani ulitoa wanajeshi hodari sana akiwemo mkuu bora kabisa wa majeshi katika historia ya wachagga Kilimanjaro Mzee Merinyo Maro. Hata miaka ya baadaye ukoo wa Maro ambao umeendelea kusambaa zaidi katika vijiji …

UKOO WA MONGI.

– Mongi ni ukoo mashuhuri wa wachagga wenye ngome yao katika kijiji cha Samanga, Marangu. Huu ni ukoo mkongwe sana unaohesabu vizazi vinavyokwenda mpaka miaka ya zamani sana kutokea kwa mchagga wa zamani zaidi wa ukoo huu anayekumbukwa. Mongi ni ukoo uliotoa wachagga wengi mashuhuri wanaofanya vizuri katika sekta mbalimbali. Wachagga wa ukoo wa Mongi …

UKOO WA KISANGA.

– Kisanga ni ukoo wa wachagga unaopatikana maeneo ya vijiji kadhaa vya Uchaggani, Kilimanjaro. Ni ukoo uliotoa wachagga wengi mashuhuri na unapatikana katika vijiji vya katikati ya Uchagga kwa wingi na kwa kiasi katika vijiji vichache vya mashariki. Hata hivyo ukoo wa Kisanga unapatikana kwa wingi zaidi katika vijiji vya himaya ya Mbokomu iliyokuja kuwa …

UKOO WA SHAYO.

– Shayo ni ukoo maarufu sana wa wachagga unaopatikana maeneo mengi sana ya Uchaggani, Kilimanjaro hususan kuanzia katikati mpaka mashariki kabisa. Ukoo wa Shayo ni ukoo wenye idadi kubwa sana ya watu na umeweza kutoa wachagga mbalimbali mashuhuri wanaofanya vizuri sana maeneo tofauti tofuati. – Kutoka kwenye historia ukoo wa Shayo unazungumziwa kwamba ulikuwa unapatikana …