UKOO WA MKENDA.

– Mkenda ni ukoo wa wachagga wanaopatikana kwa wingi zaidi katika ukanda wa mashariki ya mbali ya Uchagga, Kilimanjaro. Huu ni ukoo wenye chimbuko lake zaidi katika eneo la Mashati, Rombo ambao umekuwa na watu wengi mashuhuri katika historia. – Ukoo wa Mkenda ni ukoo wenye watu wanaofanya vizuri katika nyanja mbalimbali kuanzia biashara na …

Mfahamu ELIFURAHA NDESAMBURO URIO MAREALLE.

– Elifuraha alizaliwa huko Mwika, Moshi, Kilimanjaro mwaka 1929. – Alisoma katika shule ya Sekondari ya wasichana Ashira ambapo baadaye alikuja pia kufundisha tena kama mwalimu katika shule hiyo. – Mwaka 1955 Elifuraha alikuwa mmoja kati ya wanawake watatu wa kwanza kuwa wabunge Tanganyika, yeye peke yake akiwa ndiye mwafrika. Hivyo ni mwanamke wa kwanza …