MTI MREFU KULIKO YOTE AFRICA

Mti Mrefu Kuliko Yote Afrika Ndani Ya Msitu Wa Kilimanjaro. -Mti Huu Kwa Jina La Kitaalamu Unaitwa “ENTANDROPHRAGMA EXCELSUM”, Una Urefu wa Mita 81.5m -Kwa Kiswahili Unaitwa MKUKUSU, Unapatikana Katika Kijiji Cha Tema, Mbokomu, Old Moshi. -Unakadiriwa Kuwa Na Umri Wa Zaidi Ya Miaka 600, Na Unaweza Kuishi Miaka 300 Zaidi. -Kijiji Cha Tema Na …