JE, WAZEE/VIONGOZI AU WATANGULIZI WETU WALIOKUWA NA MAONO MAKUBWA NA KUANZISHA, WANAPEWA HESHIMA INAYOWASTAHILI?

– (Au Tunafikiri Taasisi Hizi Zilishuka Tu Kutoka Mbinguni?). 1. Picha Na. 1, 2 na 3 Inaonyesha Waasisi Waliojenga Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi Kwenye Miaka Ya 1940’s/1950’s Katika Juhudi za Kuleta Maendeleo Makubwa Kwa Jamii Yao. Kikiwa Ndio Taasisi Ya Mwanzoni Kabisa Ya Elimu Ya Juu Tanganyika. 2. Picha Na. 4, 5 na 6 …

TUANDIKE KUHUSU KOO ZETU.

Wachagga ni jamii yenye watu wengi sana na ni moja kati ya makabila/jamii kubwa na maarufu sana Afrika mashariki na Afrika kwa ujumla. Kupitia Fasihi/Literature wachagga ni kati ya makabila maarufu sana Afrika. Na kabla ya uhuru wa Tanganyika wachagga walikuwa ni kati ya jamii chache zilizokuwa zinaongoza kwa maendeleo makubwa sana sio tu kwa …

TUNAELEKEA WAPI KAMA JAMII?

Wakati wowote katika historia, swali moja ambalo watu au jamii hupaswa kujiuliza ni tunaelekea wapi? Hili ni swali muhimu sana kwa sababu linasaidia kuwapa watu/jamii fursa na nafasi ya kuamua kwa usahihi kule wanakotaka kuelekea badala ya kusubiri hatma iamue yenyewe. Kwa sababu watu wakishindwa kuamua wanaelekea wapi watajikuta sehemu ambayo hawakutamani kufika na kujilaumu …