UKOO WA MUSHI/MOSHI.

– Mushi/Moshi ni ukoo mmoja mkubwa sana unaopatikana katika vijiji vingi zaidi Uchaggani, Kilimanjaro pengine kuliko ukoo mwingine wowote wa kichagga ikiwemo ukoo wa Massawe. Kwa mujibu wa takwimu za google kuhusu idadi ya majina ya ukoo, Mushi/Moshi unaonekana ndio ukoo wa kichagga wenye idadi kubwa zaidi ya watu ukipatikana kwa wingi maeneo mengi na …

UKOO WA OTTARU.

– Ottaru ni ukoo wa wachagga wenye chimbuko lao kwa Uchaggani katika kijiji kinachojulikana kama Otaruni, Kibosho. Hata hivyo ukoo huu wa Ottaru unaonekana ukipatikana kwa wingi zaidi katika kijiji cha Kirima kuliko kwenye chimbuko lao huko Otaruni ambako kuna mchanganyiko wa koo hususan ukoo wa Massawe. – Kutoka kwenye simulizi za wazee wenyewe wa …

UKOO WA MBOWE.

– Ukoo wa Mbowe ni tawi la ukoo maarufu uliogawanyika na matawi yake kusambaa Uchaggani kote wakitumia majina tofauti tofauti uliojulikana kama Mboro. Tawi hili la ukoo wa Mbowe lina asili yake katika eneo la vijiji vilivyopo upande wa mashariki na magharibi ya kingo za mto Weruweru, ambapo unapatikana kwa wingi zaidi katika kijiji cha …

UKOO WA TARIMO.

– Tarimo ni ukoo mkubwa sana, maarufu sana na mashuhuri sana katika historia ya wachagga Kilimanjaro. Huu ni ukoo ambao umekuwa ukoo mama kwa baadhi ya koo na ni moja kati ya koo zinapatikana karibu kila mahali Uchaggani. Ukoo wa Tarimo ni mkongwe sana na unafahamika kusambaza vizazi vyake katika maeneo mengi ya Uchagga tangu …

UKOO WA KIWIA.

– Kiwia ni ukoo wa wachagga uliosambaa katika vijiji kadhaa ndani ya Uchagga hususan maeneo ya katikati ya Uchagga. Japo sio ukoo mkubwa sana lakini wachagga wa ukoo wa Kiwia ni watu wenye kujituma sana na wanaofanya vizuri katika maeneo mbalimbali ndani na nje ya Kilimanjaro na hata nje ya Tanzania. – Kutoka kwenye historia …

UKOO WA KWEKA.

– Kweka ni ukoo maarufu na mkubwa sana unaopatikana kwa wingi upande wa magharibi ya Uchaggani, Kilimanjaro. Wachagga wengi wa ukoo wa Kweka ni watu wenye nidhamu ya kazi na wenye kujituma wakiwa wamesambaa maeneo mbalimbali ndani na nje ya Kilimanjaro na katika maeneo yote ya nchi na hata nje ya Tanzania. – Kutoka kwenye …

RAI YA MWAKA MPYA.

Tujenge Utamaduni wa Kusoma, Tukuze Uwezo wa Kusoma. – Kiasili kila kiumbe ameendeleza uimara katika eneo fulani la mwili wake au maeneo fulani ya mwili wake yanayomwezesha kukabiliana na mazingira anayoishi na hivyo kuishi kwa ubora zaidi. Kwa mfano baadhi ya wanyama wana nguvu, mbio, meno na makucha yanayowawezesha kuwinda wanyama wengine kwa mafanikio na …

BIBI MAKIMARO KALANGA.

– Mimi na rafiki yangu pamoja na rafiki zetu siku ya mwaka mpya 2023 tulifanikiwa kutembelea huko mitaa ya Kibosho katika kijiji cha Kirima kati, Kida Chini na kukutana na bibi mmoja mcheshi, mchangamfu na mwenye akili sana. Bibi huyu mjasiriamali na mpambanaji sana anayeitwa Makimaro Kalanga ana wastani wa umri wa miaka kati ya …

UKOO WA SHIRIMA

– Shirima ni ukoo maarufu na mashuhuri sana wa wachagga unaopatikana kwa wingi zaidi upande wa mashariki ya Uchagga, Kilimanjaro. Ukoo wa Shirima ni kati ya koo za wachagga ambazo kongwe, kubwa, mashuhuri na maarufu sana katika historia ya wachagga Kilimanjaro. Ukoo wa Shirima pia ni ukoo wenye watu maarufu na wenye mafanikio makubwa ukiwa …