– Ukoo wa Urio/Orio ni kati ya koo kubwa, kongwe na maarufu sana miongoni mwa wachagga. Kwa uchaggani ukoo wa Urio/Orio unaaminika kwamba ulianzia Sanya Juu na uliweza kutoa watu mashuhuri katika historia kama Mzee Msanya ambaye anasemekana alihamia Meru kwa muda na kisha kurudi Sanya Juu na baadaye vizazi vyake kusambaa maeneo mengine ya …
UTAFITI NA UFAHAMU ZAIDI JUU YA KOO ZA KICHAGGA.
– Kazi ya kufanya utafiti na kufahamu zaidi kuhusu koo mbalimbali za kichagga ni kazi kubwa sana na inahusisha mambo mengi sana kwa sababu ya uwingi na upana wa koo zenyewe. Kazi hii pia ina changamoto ya uhaba wa taarifa hususan inapokuwa sio jumuishi kwa kila mwenye uelewa fulani. – Lakini habari njema ni kwamba …
MZEE WA MWISHO ALIYEBAKI.
MZEE WA MWISHO ALIYEBAKI. – Mzee Pauli Shirima maarufu kama Mzee Lekramu mwenye umri wa miaka 95 anaishi katika kijiji cha Ngaseni, Usseri, Rombo. Mzee huyu Pauli Shirima akiwa na mke wake Masilayo ndiye Mzee wa mwisho uchaggani aliyebaki ambaye anaweza kuongea lugha ya Kingassa kwa ufasaha. Mzee Lekramu anaongea lugha tatu kwa ufasaha kabisa …
MTI ALIONYONGEWA MANGI MELI MANDARA NA WENZAKE.
Mti huu uliopo katika kijiji cha Tsudunyi, Old Moshi katika wilaya ya Moshi vijijini mkoani Kilimanjaro ndio kama Golgota kwa Wachagga kwani ndio mti walionyongwa watawala wa Uchaggani, Kilimanjaro siku ya tarehe 2/Januari/1900. Wakiongozwa na Mangi Meli Mandara wa Old Moshi, Mangi Molelia Mushi wa Kibosho na Mangi Ngalami wa Siha/Sanya Juu walikutwa na hatia …
MAADHIMISHO YA SIKU YA WACHAGGA (CHAGGA DAY) YA MWAKA 2022.
KIJIJI CHA MAKUMBUSHO YA TAIFA KIJITONYAMA, DAR ES SALAAM NOV. 12, 2022. – Kama ambavyo tumeendelea kufahamu kwamba kila tarehe 10/Novemba ya kila mwaka ilikuwa ni siku kuu kubwa ya maadhimisho ya siku ya wachagga iliyokuwa ikifanyika zamani Moshi. – Siku hii ilikuwa siku muhimu sana kwa wachagga kwani ndio siku iliyokuwa ikitumika kama kilele …
“MIAKA 700 YA WACHAGGA”.
(JNIA, INTERNATIONAL AIRPORT, DAR ES SALAAM, DOMESTIC ARRIVALS, CHECK IN). Urithi Wetu Wachagga. urithiwetuwachagga@gmail.com
JE, WAZEE/VIONGOZI AU WATANGULIZI WETU WALIOKUWA NA MAONO MAKUBWA NA KUANZISHA, WANAPEWA HESHIMA INAYOWASTAHILI?
– (Au Tunafikiri Taasisi Hizi Zilishuka Tu Kutoka Mbinguni?). 1. Picha Na. 1, 2 na 3 Inaonyesha Waasisi Waliojenga Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi Kwenye Miaka Ya 1940’s/1950’s Katika Juhudi za Kuleta Maendeleo Makubwa Kwa Jamii Yao. Kikiwa Ndio Taasisi Ya Mwanzoni Kabisa Ya Elimu Ya Juu Tanganyika. 2. Picha Na. 4, 5 na 6 …
Código Promocional Para Codere México 2023: ¿cómo Es El Bono De Bienvenida De Codere
Código Promocional Para Codere México 2023: ¿cómo Es El Bono De Bienvenida De Codere? Codere Registro: Triple Bono Escalonado De Hasta $5 500 Mxn Content ¿es Fácil Apostar En Deportes Y Casino Con Este Bono? Otras Promociones Disponibles Paso A Paso Para Adquirir Un Bono De Bienvenida Codere México ¿puedo Seguir Seguro De Apostar Con …
TUANDIKE KUHUSU KOO ZETU.
Wachagga ni jamii yenye watu wengi sana na ni moja kati ya makabila/jamii kubwa na maarufu sana Afrika mashariki na Afrika kwa ujumla. Kupitia Fasihi/Literature wachagga ni kati ya makabila maarufu sana Afrika. Na kabla ya uhuru wa Tanganyika wachagga walikuwa ni kati ya jamii chache zilizokuwa zinaongoza kwa maendeleo makubwa sana sio tu kwa …
MACHAME – NKWESEKO
Urithi Wetu Wachagga