UKOO WA MAKYAO.

– Makyao ni ukoo wa wachagga wanaopatikana zaidi katika maeneo ya vijiji vya mashariki ya kati na kwa kiasi mashariki ya mbali ya Uchagga, Kilimanjaro. Ukoo wa Makyao ni ukoo uliopiga hatua kubwa kwa kuzalisha watu wengi wa vipaji mbalimbali na wasomi wa katika nyanja mbalimbali. Huu ni ukoo wenye watu wengi wanaofanya vizuri katika …

UKOO WA MASSAO.

– Massao ni ukoo maarufu wa wachagga unaopatikana zaidi maeneo ya ukanda wa magharibi ya karibu na katikati ya Uchagga, Kilimanjaro. Kutoka kwenye simulizi za watu wanaufananisha ukoo huu kama ukoo uliotokana na ukoo wa Massawe kwa kiasi ambacho umekaribia kufanana majina yake japo wenye unapatikana maeneo machache sana ukilinganisha na ukoo wa Massawe. – …

UKOO WA FOYA.

– Foya ni ukoo wa wachagga wanaopatikana zaidi katika eneo la katikati au magharibi ya kati ya nchi ya Uchagga, Kilimanjaro. Huu ni ukoo wenye watu makini sana ambapo katika miaka ya zamani sana ulikuwa ni moja kati ya koo mashuhuri zilizotoa mainjinia wataalamu wa miundombinu za umwagiliaji na mifereji ya maji kwa ujumla. Hata …

UKOO WA KINABO.

– Kinabo ni ukoo mashuhuri wa wachagga unaotokana na watawala waliowahi kupita zamani na kupata umaarufu au umashuhuri katika himaya husika. Ukoo huu unapatikana kwa kiasi maeneo ya Lyamrakana, Marangu na kwa wingi kiasi maeneo ya Mkuu, Rombo. Huu kwa sehemu kubwa ni ukoo wa watu makini na wasomi zaidi ambao wanafahamiana kwa karibu na …

UKOO WA SOKA/KISOKA/MSOKA.

– Msoka/Soka/Kisoka ni ukoo maarufu wa wachagga unaopatikana katika maeneo ya ukanda wa magharibi ya kati, magharibi ya karibu na mashariki ya karibu ya Uchagga, Kilimanjaro. Wachagga wa ukoo wa Msoka na wengine Soka na Kisoka ni watu wanaofanya vizuri zaidi katika maeneo mbalimbali kwa mfano kitaaluma ukoo wa Msoka wanaonekana kufanya vizuri zaidi na …

UKOO WA KWAYU.

– Kwayu ni ukoo wa kichagga unaopatikana kwa wingi katika ukanda wa maeneo ya magharibi ya kati ya Uchagga, Kilimanjaro. Ukoo huu ni mkubwa kiasi na mkongwe pia wenye watu wengi makini ambapo baadhi wanafanya vizuri sana katika nyanja mbalimbali za kimaisha kuanzia taaluma, biashara na ujasiriamali katika taasisi mbalimbali binafsi na za umma. – …

UKOO WA TENGA/MTENGA.

– Tenga na Mtenga ni ukoo wa mkongwe na wenye umashuhuri sana kwa baadhi ya maeneo ya Uchagga, Kilimanjaro ambao umeoyesha umahiri mkubwa katika nyanja mbalimbali katika nyakati tofauti tofauti za kihistoria. Hata hivyo japo hakuna taarifa za kutosha zinazoweza kuunganisha matawi ya ukoo huu kwa usahihi kwa maeneo yote zinakopatikana katika ardhi ya Uchagga, …

UKOO WA MANGESHO.

– Mangesho ni ukoo wa wachagga unaopatikana katika eneo la mwishoni mwa ukanda wa mashariki ya kati ya Uchagga na kwa kiasi katika eneo la katikati la ukanda wa mashariki ya mbali ya Uchagga, Kilimanjaro. Hata hivyo bado hakuna taarifa za uhakika kama ukoo wa Mangesho wa eneo hili la katikati ya ukanda wa mashariki …

UKOO WA MREMI.

– Mremi ni ukoo wa wachagga wenye umaarufu kiasi unaopatikana kwa wingi zaidi katika ukanda wa mwishoni mwa mashariki ya kati ya Uchagga na mwanzoni mwa ukanda wa mashariki ya mbali ya Uchagga, Kilimanjaro. Ni ukoo wenye watu mbalimbali makini wanaofanya vizuri sana katika maeneo mbalimbali hasa biashara na ujasiriamali. – Kutoka kwenye historia Mremi …

UKOO WA MKENDA.

– Mkenda ni ukoo wa wachagga wanaopatikana kwa wingi zaidi katika ukanda wa mashariki ya mbali ya Uchagga, Kilimanjaro. Huu ni ukoo wenye chimbuko lake zaidi katika eneo la Mashati, Rombo ambao umekuwa na watu wengi mashuhuri katika historia. – Ukoo wa Mkenda ni ukoo wenye watu wanaofanya vizuri katika nyanja mbalimbali kuanzia biashara na …