UKOO WA UISSO/OISSO/WOISSO

– Uisso ni ukoo mkubwa wa kichagga unaopatikana kwa wingi katika maeneo ya ukanda wa mashariki ya kati ya Uchagga, Kilimanjaro na kwa wingi zaidi katika eneo la ukanda wa mashariki ya mbali ya Uchagga, Kilimanjaro. Huu ni ukoo wa watu wajasiri na wenye kujiamini sana katika mapambano ya aina yoyote ile. Ukoo wa Uisso/Oisso/Woisso …

HATA BILA UKOLONI WALA UJIO WA DINI ZA KIGENI WACHAGGA WANGEENDELEA KUWA BORA ZAIDI NA ZAIDI (KUSTAARABIKA).

– Moja kati ya maneno ambayo huwa yananipa ugumu au ukakasi sana kuyatumia ni pamoja na neno hili “ustaarabu” kutokana na asili ya neno lenyewe. Naamini wote tunajua maana ya neno ustaarabu kwamba ni kuishi au kuwa na utamaduni ambao unaonekana kuwa ni wa hadhi ya juu zaidi katika maisha, au kama unavyojulikana kwa kiingereza …

UKOO WA MAUKI.

– Mauki ni ukoo wa kichagga unaopatikana kwa wingi zaidi katika eneo la ukanda wa katikati, magharibi ya karibu na mashariki ya kati ya Uchagga, Kilimanjaro. Huu sio ukoo wenye idadi kubwa sana ya watu wala wenye umaarufu sana lakini ni ukoo wenye watu makini sana pia. Kutoka kwenye historia ukoo wa Mauki kuna wakati …

UKOO WA KIMATHI.

– Kimathi ni ukoo mkubwa wa kichagga unaopatikana kwa wingi zaidi katika eneo la ukanda wa magharibi ya karibu ya Uchagga, Kilimanjaro. Wachagga wa ukoo wa Kimathi ni watu wenye bidii kubwa ya maisha na wanapatikana maeneo mbalimbali ndani na nje ya Kilimanjaro na hata nje ya nchi wakifanya vizuri katika maeneo mbalimbali hususan katika …

UKOO WA MARANDU.

– Marandu ni ukoo maarufu wa kichagga unaopatikana kwa kiasi katika ukanda wa mashariki ya kati ya Uchagga na kwa wingi zaidi katika ukanda wa mashariki ya mbali ya Uchagga, Kilimanjaro. Ukoo wa Marandu ukiwa ni ukoo mkongwe wenye watu katika tasnia mbalimbali hususan biashara na ujasiriamali ni ukoo pia uliotoa na unaoendelea kutoa watu …

UKOO WA LYAMUYA.

– Lyamuya ni ukoo maarufu wa wachagga wanaopatikana kwa wingi zaidi katika ukanda wa mashariki ya kati ya Uchagga, Kilimanjaro. Ukoo wa Lyamuya una watu wengi waliosambaa maeneo mbalimbali ndani na nje ya Kilimanjaro wakifanya vizuri katika shughuli za biashara na ujasiriamali. Ukoo wa Lyamuya pia una watu wengi wanaofanya kazi katika taasisi na mashirika …

MTAZAMO NDIPO NGUVU YETU ILIPO.

Miaka imeendelea kwenda na mambo yameendelea kubadilika sana na kwa kasi kubwa, mabadiliko haya yanakwenda kwa kasi sana na yanapelekea mabadiliko pia ya mienendo na tamaduni zetu siku baada ya siku. Mabadiliko haya yamekuwa na matokeo chanya na hasi kwa namna ambazo tunaweza kuyatafsiri kadiri tunavyozitambua thamani kwa mitazamo na imani tulizojengewa. Tukija kwa upande …

UKOO WA NYAKI.

– Nyaki ni ukoo mkongwe sana wa wachagga unaopatikana katika maeneo ya baadhi ya vijiji vya magharibi ya karibu na mashariki ya kati ya Uchagga, Kilimanjaro. Wachagga wa ukoo wa Nyaki wakiwa wamesambaa na wanapatikana maeneo mbalimbali ndani na nje ya Uchagga, Kilimanjaro ni watu wanaofanya vizuri katika fani mbalimbali ikiwemo taaluma na ujasiriamali, huku …

MICHAEL NGALEKU SHIRIMA.

One of the Greatest Sons of Kilimanjaro. – Wachagga na Sifa Ya Kipekee Sana Kama Jamii Ya Wazawa Ndani Ya Nchi Hii Inayofanya Vizuri Sana Kwenye Sekta Binafsi. Pamoja na Mitazamo Hasi na Chuki za Baadhi Ya Watu Kwa Jamii Hii Bado Kwa Sehemu Kubwa Ndio Viongozi Katika Maeneo Mengi Kwenye Sekta Binafsi Nchini. – …