MANGI LEMNGE KUIMBERE MOSHI WA MAMBA

Pichani kushoto ni Mangi Lemnge Kwimbere (baba yangu)aliyekuwa Mangi wa Mamba kuanzia miaka ya katikati ya 1930 hadi miaka ya 1950 alipochaguliwa kuwahead chief wa Vunjo kabla ya kuanza cheo cha Mwitori.Kulia ni baba yake Mangi Kwimbere Mlawi..aliyepokea umangi kwa Ukyekekyi Mlawi. Kwimbere ndiye aliyewapa Wamisionari eneo la Ashira mahali palipokuwa wakitupwa watu waliokufa (maiti). …