HAKI ZA MWANAMKE KISHERIA KATIKA NCHI YA WACHAGGA.

Katika nchi ya wachagga hadhi ya mwanamke kisheria na haki zake zilikuwa bayana na zaidi zinaonekana wakati wa ndoa. Hata hivyo mbele ya sheria za wachagga mwanamke alipewa hadhi kubwa zaidi kisheria ukilinganisha na jamii nyingi za kiafrika. Kwa mfano katika ardhi ya wachagga miaka ya zamani sana wakati wa vita kisheria mwanamke hakuruhusiwa kushambuliwa, …

HADITHI YA WACHAGGA INAYOONYESHA MADHARA YA MTU KUKOSA SHUKRANI KWA “RUWA”.

Hapo zamani za kale katika nchi ya wachagga kulikuwa na mwanamke ambaye hakujaliwa kabisa kupata mtoto hata mmoja. Mwanamke huyu pia umri wake wa kuweza kupata mtoto ulikuwa umepita sana. Kila siku alikuwa akifanya kazi mpaka kufikia kuchoka sana huku wanawake wengine wakimkejeli na kumsanifu kwa kutokuwa na mtoto ambaye angeweza kuwa msaada kwake. Jambo …

HADITHI YA “MORILE” KWA WACHAGGA.

Hapo zamani za kale wachagga walifahamu kwamba kulikuwa na Mungu aliyeumba watu ambaye aliishi kwenye juu huko juu mawinguni. Wachagga walijua pia kwamba Mungu huyo amewatendea watu mambo mema mengi sana. Lakini wachagga waliendelea kuliangalia anga la juu na kutamani kufahamu mambo mengi sana kuhusu anga ambalo jua hupita kila siku. Lakini hawakuweza kupata mtu …