– Kampuni ya Kimarekani inayojulikana kama Titan Lithium Inc. imeweza kugundua uwepo wa madini ya Lithium katika eneo la upande wa kusini wa Kilimanjaro. Upande wa kusini wa mlima Kilimanjaro ndio upande yanapoanzia makazi ya wachagga kuelekea kwenye tambarare ambazo kwa sehemu kubwa ni mashamba ya wachagga yanayoendelea kubadilika kwa kasi kuwa mji. – Katika …
Category: Makala
UKOO WA KINYAHA.
– Ukoo wa Kinyaha ni ukoo unaopatikana kwa uchache sana Uchaggani katika maeneo ya katika ya Uchagga. Huu ni ukoo wenye watu wengi makini na wanaofanya vizuri sana kitaaluma wakiwa wanafanya vizuri sana katika taasisi mbalimbali ndani na nje ya Kilimanjaro na hata nje ya nchi. – Kutoka kwenye historia ukoo wa Kinyaha unafahamika kwamba …
WACHAGGA WA KIZAZI KIPI WAPO SAHIHI NA WAPI WAMEKOSEA/WALIKOSEA?
– Tunafahamu kwamba miaka ya zamani hususan mpaka kufikia miaka ya 1980’s ilikuwa ni nadra sana kwa jamii ya wachagga kuoana au kuzaa na watu wa jamii nyingine. Sina uhakika kama kuliwahi kuwa na sera iliyowekwa juu ya jambo hilo labda wakati wa utawala wa Mangi Mkuu au hapo kabla lakini ilikuwa mchagga akifikia kuoa …
UKOO WA MSAKI.
– Msaki ni ukoo wa wachagga wanaopatikana kwa wingi katika eneo la katikati ya kuelekea mashariki ya Uchagga, Kilimanjaro. Ukoo wa Msaki ni ukoo mkubwa uliosambaa katika vijiji vingi vya Uchagga, Kilimanjaro katika maeneo ya katikati kuelekea mashariki. – Ukoo wa Msaki ni ukoo wenye vipaji mbalimbali hivyo una watu wengi wanaofanya vizuri katika nyanja …
UKOO WA MEELA.
– Meela ni ukoo maarufu wa wachagga unaopatikana kwa wingi maeneo ya Uchaggani kati kuelekea mashariki. Huu ni ukoo uliosambaa katika vijiji mbalimbali vya maeneo haya. Hata hivyo japo sio ukoo uliosambaa maeneo mengi sana lakini ukoo wa Meela ni ukoo wenye watu wengi mashuhuri wanaofanya vizuri sana katika nyanja mbalimbali ndani na nje ya …
KIJIJI CHA KYUU, MASAMA.
– KKKT USHARIKA WA KYUU. – KKKT USHARIKI WA KYUU. MTAA WA SHOSE. – SHULE YA SEKONDARI KYUU. – SHULE YA MSINGI KYUU. – KNCU KYUU. Urithi Wetu Wachagga urithiwetuwachagga@gmail.com Whatsapp/Call +255 754 584 270.
KIJIJI CHA MUDIO, MASAMA.
– KKKT USHARIKA WA MUDIO. – KKKT USHARIKA WA MUDIO MTAA WA UDORO. – TAG CHURCH JERUSALEM. – TAG CHURCH ISAWERWA – KNCU MUDIO NKOMANGI. – SHULE YA SEKONDARI MUDIO ISLAMIC. – SHULE YA SEKONDARI NKOKASHU. – SHULE YA SEKONDARI UDORO. – MUDIO ISLAMIC ENGLISH MEDIUM PRIMARY SCHOOL. – SHULE YA MSINGI MUDIO. – SHULE …
UKOO WA NGUMA.
– Nguma ni ukoo wa kichagga unaopatikana kwa wingi katika vijiji kadhaa vya Uchagga, Kilimanjaro maeneo ya kati mashariki. Huu ni ukoo wenye watu waliosambaa katika maeneo mbalimbali ndani na nje ya Kilimanjaro na hata nje ya Tanzania wakijihusisha na shughuli mbalimbali za maofisini, biashara na ujasiriamali. – Kutoka kwenye historia ukoo wa Nguma ndio …
“NDEKOCHA” BINTI WA KICHAGGA ALIYEUAWA KIKATILI KUPEWA MTAA HUKO BREMEN, UJERUMANI.
– Kupitia historia tunafahamu kwamba utawala wa wajerumani hasa katika miaka ya mwanzoni ulikuwa ni wa kikatili sana na mwasisi wa ukatili huu uliokithiri alikuwa ni mtu maarufu tuliyemsoma kwenye historia Karl Peters. Karl Peters watu wanahistoria wengi wa karne ya 21 wanamchukulia kama alikuwa ni nusu mwendawazimu kwa jinsi alivyotekeleza vitendo vingi vya ukatili …
WACHAGGA TUNA HAZINA KUBWA SANA INAYOENDELEA KUPOTEA, TUNAPASWA KUJIONGEZA.
– Moja kati ya vitu ambavyo watu wengi sana wanahofia na pamoja ni kupotea kwa urithi wetu muhimu sana ambao umerithishwa kutoka kwenye vizazi vilivyopita unaofikia mpaka maelfu ya miaka. Urithi huu ni mila, desturi na tamaduni kwa ujumla na hasa vitu muhimu kama lugha ambayo inahifadhi historia na fasihi nzima ya jamii iliyobeba tafsiri …