UKOO WA KITALI.

– Kitali ni ukoo wa wachagga unaopatikana kwa kiasi katika maeneo ya mashariki ya karibu, mashariki ya kati na mashariki ya mbali ya Uchagga, Kilimanjaro. Wachagga wa ukoo wa Kitali wamesambaa kwa kiasi katika baadhi ya vijiji lakini vinavyopatikana mbalimbali sana kuelekea upande wa mashariki ya Uchagga, Kilimanjaro. Wachagga wa ukoo wa Kitali wanafanya shughuli …

UKOO WA LASWAI.

– Laswai ni ukoo wa wachagga unaopatikana kwa wingi kiasi katika ukanda wa mashariki ya mbali ya Uchagga, Kilimanjaro hususan maeneo ya katikati ya ukanda huu wa mashariki ya mbali ya Uchagga. Wachagga wa ukoo wa Laswai ni watu wachangamfu, wajasiriamali wazuri na baadhi wamefanikisha mambo makubwa sana kwenye maisha. – Kutoka kwenye historia ukoo …

UKOO WA MROSSO.

– Mrosso ni ukoo mkubwa, mashuhuri na maarufu sana wa wachagga unaopatikana kwa zaidi upande wa mashariki ya mbali ya Uchagga, Kilimanjaro. Huu ni ukoo uliosambaa katika maeneo ya vijiji vingi sana vya mashariki ya Uchagga kwa wingi kwenye baadhi ya vijiji na kwa uchache kwenye vijiji vingine. – Wachagga wa ukoo wa Mrosso wengi …

UCHUMBA MPAKA NDOA KWA WACHAGGA.

2. NDOA. SEHEMU YA 1. – Baada ya taratibu zote za mambo ya uchumba na ndugu wote wa bibi harusi wanaopaswa kupewa kile wanachostahili kumalizika sasa umefika wakati wa bwana harusi wa kichagga kumdai ili kukabidhiwa bibi harusi wake. Tangazo la ndoa hupelekwa kwa wazazi wa bibi harusi kupitia Mkara(mdhamini) kwenda kwa baba wa binti …

UKOO WA MWANGA.

– Mwanga ni ukoo wa wachagga wanaopatikana kwa wingi zaidi katika ukanda wa magharibi ya kati kuelekea magharibi ya mbali ya Uchagga, Kilimanjaro kwa wingi katika baadhi ya vijiji na kwa uchache katika vijiji vingine. Baadhi ya wachagga wa ukoo wa Mwanga ni watu wenye uwezo mkubwa sana kiakili na waliojaliwa vipaji vikubwa katika taaluma …

NGUVU YA MAANDISHI NA SALAMU ZA MEI MOSI.

– Siku moja ilikuwa ni mida ya jioni tulikuwa tunafanya maongezi ya kubadilishana mawazo na rafiki yangu mmoja kuhusu mambo mbalimbali katika maisha. Tuliongea mambo mengi sana kwa kirefu lakini ghafla uelekeo wa mazungumzo ukabadilika tukaanza kujadili kuhusu jamii ya wachagga na mambo yao pamoja na mwenendo wa kule wanakoelekea kwa sasa. – Rafiki yangu …

UKOO WA MTEI.

– Mtei ni ukoo maarufu wa wachagga unaopatikana katika ukanda wa mashariki ya kati na kwa wingi zaidi katika ukanda wa mashariki ya mbali ya Uchagga, Kilimanjaro. Huu ni ukoo wenye watu makini na wengine mashuhuri sana wanaofanya vizuri sana na waliofanya vizuri sana katika nyanja mbalimbali hususan katika taaluma, ujasiriamali na biashara. – Ukoo …

UKOO WA KAVISHE.

– Kavishe ni ukoo mkubwa wa wachagga unaopatikana kwa wingi sana katikati ya eneo la mashariki ya mbali ya Uchagga, Kilimanjaro. Ukoo wa Kavishe ni ukoo mkubwa na wenye watu wengi mashuhuri wanaofanya vizuri sana katika nyanja mbalimbali hususan kwenye biashara na ujasiriamali ndani na nje ya Kilimanjaro na hata nje ya nchi. – Kutoka …