JE UNAJUA KWAMBA WACHAGGA WALIKUWA NA LUGHA YA MAANDISHI?

JE UNAJUA KWAMBA WACHAGGA WALIKUWA NA LUGHA YA MAANDISHI? Wachagga, Kama Yalivyo Mataifa Mengine Mbalimbali Duniani Kama Wachina, Wagiriki, Waarabu, Warusi, Wakorea n.k., Waliendeleza Lugha Ya Maandishi Kabla Mzungu Yeyote Hajaifahamu Kilimanjaro. Uchaggani Kulikuwa na Shule ya Jadi Ambayo Sio Rasmi Lakini Ilikuwa Ni Lazima Kila Kijana Apitie Akifika Umri Fulani Kupata Mafundisho Maalum Ya …

HISTORIA YA MJI WA MOSHI

HISTORIA YA MJI WA MOSHI ……..!! Mji wa Moshi Ulitokea Eneo La Old Moshi, Tsudunyi Huko Mlimani Ambapo Ndipo Palikuwa Panaitwa “Moshi” Hapo Kabla. Wakati Wageni Mbalimbali Wanakuja Kwa Wingi Sana Kilimanjaro Kuanzia Katikati Ya Karne Ya 19 Wakitokea Maeneo Ya Pwani, Ulaya, Asia na Uarabuni Waliikuta Old Moshi Ikiwa Ndio Mji Mkubwa Zaidi Kibiashara …

VYAMA VYA SIASA VYA WACHAGGA – KILIMANJARO

VYAMA VYA SIASA VYA WACHAGGA. 1. Kilimanjaro Chagga Citizens Union (KCCU). 2. Chagga Democratic Pary (CDP). Wachagga Walipata Kuwa na Vyama Viwili Vikubwa Vya Kisiasa Ambavyo Vyote Vilipambana Kufikia Kuwa na Taifa Huru La Wachagga Wakati Harakati Za Utaifa Rasmi Zikiendelea Kupamba Moto, Kilimanjaro Kuanzia Miaka Ya 1920’s. Chama Cha Kilimanjaro Chagga Citizens Union (KCCU) …

MACHAME NKWARUNGO, USHARIKA WA KWANZA WA KKKT, TANZANIA

KKKT – NKWARUNGO LUTHERAN PARISH, MACHAME. Hili Ndilo Kanisa La Kwanza La Kilutheri, Afrika Mashariki. – Wamisionari wa Kilutheri Kutoka Leipzig, Ujerumani Walifika Kilimanjaro, Mwezi Septemba Mwaka 1893 Walipokaribishwa Na Serikali Ya Wakoloni Wajerumani Kuchukua Nafasi Ya Wamisionari Waliowatangulia Kutoka London, Uingereza wa CMS Society Waliofukuzwa Kilimanjaro na Serikali Ya Wajerumani. – Wamisionari wa CMS …

KITIMBIRIHU HOLISTIC CENTRE!

KITIMBIRIHU HOLISTIC CENTRE! Ni Mtaa Katika Kijiji Cha Mdawi Ya Juu, Old Moshi. Ni Sehemu Ya Kwanza Ambapo Injili Ya Yesu Kristo Ilianza Kuhuburiwa, Sio Tu Ndani Ya Uchaggani Na Kanda Ya Kaskazini Bali Ni Sehemu Ya Kwanza Kufanyika Ibada Ya Kikristo Katika Tanganyika Nzima Ukiondoa Bagamoyo. KKKT, Dayosisi Ya Kaskazini Walitangaza Rasmi Eneo Hili …

KAMBI YA WATALII “MANDARA HUT” MARANGU ROUTE, MLIMA KILIMANJARO

MANDARA HUT! Unapopanda Mlima Kilimanjaro Kupitia Njia Ya Marangu(Marangu Route), Kambi Ya Kwanza Unayokutana Nayo(Campsite) Ambapo Watalii Wanalala Siku Ya Kwanza Ya Kupanda Mlima Kilimanjaro Inaitwa Mandara Hut. Hili Ni Eneo Lingine Lililopewa Jina Hili Kwa Heshima Ya “The Great Mangi Rindi Mandara Moshi” Au “Mangi Rindi Mandara Moshi, Mashuhuri” (1860-1891). Tunashukuru Kwa Mamlaka Husika …

BARABARA YA MANGI RINDI MOSHI MJINI

RINDI LANE STREET Ni Moja Ya Mitaa Moshi Mjini Unaoanzia Opp. Uhuru Park, Unapita St. Jose College, Kisha Kibo Tower Na Kuishia Opp. Barabara Ya Idara Ya Maji, Ni Mtaa Uliopewa Jina Hili Kwa Heshima Ya Mangi Rindi Mandara. MANGI RINDI MANDARA MOSHI -Alikuwa Mangi wa Old Moshi 1860 – 1891 -Ni Mangi Aliyewahi Kuwa …

BARABARA YA RENGUA, MOSHI MJINI

RENGUA ROAD. Hii Ni Moja Ya Barabara Katika Mitaa Ya Moshi Mjini, Lakini Ni Watu Wachache Sana Wanaoweza Kufahamu Rengua Alikuwa Ni Nani Hasa, Hii Ni Kutokana Na Sisi Wachagga Kutojihangaisha Kabisa Kufahamu Historia Yetu. MANGI RENGUA KOMBE KIWARIA MUSHI Alikuwa Mangi Wa Machame Mpaka Mwanzoni Mwa Miaka Ya 1800. Alikuwa Mangi Mwenye Nguvu Sana …